Swali 425: Ni ipi ya mfungaji kujitia baridi kidogo?
Jibu: Mfungaji kujiweka baridi ni jambo linalofaa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akijimwagia maji kichwani mwake kwa sababu ya joto kali au kwa sababu ya kiu ilihali amefunga[1]. Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) alikuwa akiilowesha nguo yake kwa maji ilihali amefunga kwa ajili ya kupunguza ukali wa joto au kiu. Unyevunyevu hauathiri. Kwani maji hayafiki tumboni.
[1] Abu Daawuud (2365).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 481
- Imechapishwa: 12/05/2019
Swali 425: Ni ipi ya mfungaji kujitia baridi kidogo?
Jibu: Mfungaji kujiweka baridi ni jambo linalofaa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akijimwagia maji kichwani mwake kwa sababu ya joto kali au kwa sababu ya kiu ilihali amefunga[1]. Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) alikuwa akiilowesha nguo yake kwa maji ilihali amefunga kwa ajili ya kupunguza ukali wa joto au kiu. Unyevunyevu hauathiri. Kwani maji hayafiki tumboni.
[1] Abu Daawuud (2365).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 481
Imechapishwa: 12/05/2019
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-ya-mfungaji-kujitia-baridi-kidogo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)