Swali: Ni ipi tofauti kati ya hali hii[1] na yule aliyepata kujua kuandama kwa mwezi katikati ya mchana?
Jibu: Tofauti iko wazi. Dalili ikisimama katikati ya mchana basi ni wajibu kwao kujizuia. Mwanzoni mwa mchana walikula kutokamana na udhuru wa kutojua. Kwa ajili hii iwapo wangelikuwa wanajua ya kwamba siku hii ni Ramadhaan ingelikuwa ni wajibu kwao kufunga. Kuhusu wale wengine ambao tumewaashiria wanatambua kuwa ni Ramadhaan lakini hata hivyo wameruhusu kutofunga. Kwa hivyo kuna tofauti ya wazi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-anayepata-hedhi-na-nifasi-mchana-wa-ramadhaan-kujizuia/
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/104)
- Imechapishwa: 03/06/2017
Swali: Ni ipi tofauti kati ya hali hii[1] na yule aliyepata kujua kuandama kwa mwezi katikati ya mchana?
Jibu: Tofauti iko wazi. Dalili ikisimama katikati ya mchana basi ni wajibu kwao kujizuia. Mwanzoni mwa mchana walikula kutokamana na udhuru wa kutojua. Kwa ajili hii iwapo wangelikuwa wanajua ya kwamba siku hii ni Ramadhaan ingelikuwa ni wajibu kwao kufunga. Kuhusu wale wengine ambao tumewaashiria wanatambua kuwa ni Ramadhaan lakini hata hivyo wameruhusu kutofunga. Kwa hivyo kuna tofauti ya wazi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-anayepata-hedhi-na-nifasi-mchana-wa-ramadhaan-kujizuia/
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/104)
Imechapishwa: 03/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-tofauti-kati-ya-watu-hawa-aina-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)