Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusujudu juu ya paji la uso bila pua?
Jibu: Sahihi ni kwamba ni lazima kusujudu juu ya pua pia. Haitoshi kusujudu juu ya paji la uso peke yake. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimeamrishwa kujusudu juu ya viungo saba na akaashiria kwa mkono wake pua, mikono miwili, magoti mawili na ncha za vidole.”
Swalah yake inakuwa si sahihi kwa sababu ya kuacha kwake nguzo. Arudi kuswali Rak´ah moja iwapo atakumbuka karibu. Ikiwa kumeshapita muda mrefu basi anatakiwa kuirudi swalah yake yote, ikiwa ni swalah ya faradhi, kama mfano wa nguzo zengine zilizobaki.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 24
- Imechapishwa: 17/07/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusujudu juu ya paji la uso bila pua?
Jibu: Sahihi ni kwamba ni lazima kusujudu juu ya pua pia. Haitoshi kusujudu juu ya paji la uso peke yake. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimeamrishwa kujusudu juu ya viungo saba na akaashiria kwa mkono wake pua, mikono miwili, magoti mawili na ncha za vidole.”
Swalah yake inakuwa si sahihi kwa sababu ya kuacha kwake nguzo. Arudi kuswali Rak´ah moja iwapo atakumbuka karibu. Ikiwa kumeshapita muda mrefu basi anatakiwa kuirudi swalah yake yote, ikiwa ni swalah ya faradhi, kama mfano wa nguzo zengine zilizobaki.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 24
Imechapishwa: 17/07/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-mwenye-kusujudu-juu-ya-paji-la-uso-bila-pua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)