Swali: Ni ipi hukumu ya Shari´ah funga ya msafiri?
Jibu: Hukumu ya msafiri ni kwamba analo chaguo; akitaka kufunga basi atafunga, na akitaka kula basi atakula. Ingawa kuacha kufunga ndio bora zaidi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Si katika wema kufunga safarini.”
Akiacha kufunga ndio bora zaidi. Akifunga kwa sababu kufunga ndio kwepesi zaidi kwake hakuna neno. Mara Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake walifunga na mara nyingine wakaacha kufunga.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/4423/%D9%85%D8%A7-%D8%A7%D9%84%D8%A7%D9%81%D8%B6%D9%84-%D9%84%D9%84%D9%85%D8%B3%D8%A7%D9%81%D8%B1-%D8%A7%D9%84%D8%B5%D9%88%D9%85-%D8%A7%D9%85-%D8%A7%D9%84%D9%81%D8%B7%D8%B1
- Imechapishwa: 13/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya Shari´ah funga ya msafiri?
Jibu: Hukumu ya msafiri ni kwamba analo chaguo; akitaka kufunga basi atafunga, na akitaka kula basi atakula. Ingawa kuacha kufunga ndio bora zaidi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Si katika wema kufunga safarini.”
Akiacha kufunga ndio bora zaidi. Akifunga kwa sababu kufunga ndio kwepesi zaidi kwake hakuna neno. Mara Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake walifunga na mara nyingine wakaacha kufunga.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/4423/%D9%85%D8%A7-%D8%A7%D9%84%D8%A7%D9%81%D8%B6%D9%84-%D9%84%D9%84%D9%85%D8%B3%D8%A7%D9%81%D8%B1-%D8%A7%D9%84%D8%B5%D9%88%D9%85-%D8%A7%D9%85-%D8%A7%D9%84%D9%81%D8%B7%D8%B1
Imechapishwa: 13/09/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-msafiri-kufunga-safarini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)