Swali: Ni ipi hukumu ya kuzifanya nywele kibunda kimoja?
Jibu: Sijui ubaya wowote wa kuzifanya nywele kibunda kimoja. Kimsingi ni kuruhusu. Mwenye kuona kitu katika Sunnah kinachokataza jambo hilo basi ni wajibu kuifuata.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/133)
- Imechapishwa: 30/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuzifanya nywele kibunda kimoja?
Jibu: Sijui ubaya wowote wa kuzifanya nywele kibunda kimoja. Kimsingi ni kuruhusu. Mwenye kuona kitu katika Sunnah kinachokataza jambo hilo basi ni wajibu kuifuata.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/133)
Imechapishwa: 30/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuzifanya-nywele-kibunda-kimoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)