Swali: Ni ipi hukumu ya kuyajegea makaburi?
Jibu: Kuyajengea makaburi ni haramu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza hilo kwa vile ndani yake kunapatikana kuwaadhimisha wafu. Sababu nyingine ni kwa vile ni njia inayopelekea makaburi haya kuabudiwa na kufanywa mungu pamoja na Allaah. Hivyo ndivyo ilivyo hali ya majengo mengi yaliyojengwa juu ya makaburi. Matokeo yake watu wakawa wanashirikisha pamoja na watu waliyomo ndani ya makaburi haya, wakaomba pamoja na Allaah, kuwaomba wafu na kuwataka uokozi ili watatue matatizo, mambo ambayo ni shirki kubwa na ni kutoka katika Uislamu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/233)
- Imechapishwa: 04/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuyajegea makaburi?
Jibu: Kuyajengea makaburi ni haramu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza hilo kwa vile ndani yake kunapatikana kuwaadhimisha wafu. Sababu nyingine ni kwa vile ni njia inayopelekea makaburi haya kuabudiwa na kufanywa mungu pamoja na Allaah. Hivyo ndivyo ilivyo hali ya majengo mengi yaliyojengwa juu ya makaburi. Matokeo yake watu wakawa wanashirikisha pamoja na watu waliyomo ndani ya makaburi haya, wakaomba pamoja na Allaah, kuwaomba wafu na kuwataka uokozi ili watatue matatizo, mambo ambayo ni shirki kubwa na ni kutoka katika Uislamu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/233)
Imechapishwa: 04/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuyajegea-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)