Swali: Ni ipi hukumu ya kutulia katika swalah?
Jibu: Ni nguzo. Kwa ajili hiyo ndio maana Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwamrisha yule mtu aliyekuwa anaswali vibaya. Alisema:
”Kisha utarukuu mpaka unyooke. Kisha utasimama sawa sawa.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 24
- Imechapishwa: 17/07/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kutulia katika swalah?
Jibu: Ni nguzo. Kwa ajili hiyo ndio maana Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwamrisha yule mtu aliyekuwa anaswali vibaya. Alisema:
”Kisha utarukuu mpaka unyooke. Kisha utasimama sawa sawa.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 24
Imechapishwa: 17/07/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kutulia-katika-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)