Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya mzushi na anafanya ubishi juu ya hilo?
Jibu: Ikiwa unajua kuwa ni mzushi, na baya kuliko hilo ni kwamba analingania katika Bid´ah na Bid´ah hiyo ikawa inahusiana na ´Aqiydah, basi usiswali nyuma yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
- Imechapishwa: 24/02/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya mzushi na anafanya ubishi juu ya hilo?
Jibu: Ikiwa unajua kuwa ni mzushi, na baya kuliko hilo ni kwamba analingania katika Bid´ah na Bid´ah hiyo ikawa inahusiana na ´Aqiydah, basi usiswali nyuma yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
Imechapishwa: 24/02/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuswali-nyuma-ya-anayelingania-katika-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)