Swali: Ni ipi hukumu ya kupeana pongezi kwa mnasaba wa mwaka mpya wa Hijrah?
Jibu: Halina msingi. Kusizuliwe kitu kwa mnasaba wa mwaka mpya wa Hijrah, si kupeana pongezi wala kitu kingine. Ni siku ya kawaida kama zengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kupeana pongezi kwa mnasaba wa mwaka mpya wa Hijrah?
Jibu: Halina msingi. Kusizuliwe kitu kwa mnasaba wa mwaka mpya wa Hijrah, si kupeana pongezi wala kitu kingine. Ni siku ya kawaida kama zengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kupeana-pongezi-kwa-mnasaba-wa-mwaka-mpya-wa-hijrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)