Swali 05: Ni ipi hukumu ya kupangusa juu ya soksi na khaswa wakati wa baridi?
Jibu: Mtu afute juu yake na wala hakuna neno. Ni mamoja ni zile soksi za ngozi au ni soksi za kawaida. . Ni mamoja wakati wa majira ya baridi au ni wakati wa majira ya joto. Midhali amezivaa wakati yuko na wudhuu´ na zimefunika, basi apanguse juu yake kwa muda maalum; mchana mmoja na usiku wake kwa ambaye ni mkazi, na michana mitatu na nyusiku zake kwa ambaye ni msafiri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 32
- Imechapishwa: 31/07/2018
Swali 05: Ni ipi hukumu ya kupangusa juu ya soksi na khaswa wakati wa baridi?
Jibu: Mtu afute juu yake na wala hakuna neno. Ni mamoja ni zile soksi za ngozi au ni soksi za kawaida. . Ni mamoja wakati wa majira ya baridi au ni wakati wa majira ya joto. Midhali amezivaa wakati yuko na wudhuu´ na zimefunika, basi apanguse juu yake kwa muda maalum; mchana mmoja na usiku wake kwa ambaye ni mkazi, na michana mitatu na nyusiku zake kwa ambaye ni msafiri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 32
Imechapishwa: 31/07/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kupangusa-juu-ya-soksi-na-khaswa-wakati-wa-baridi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)