Swali: Ni ipi kafara ya mtu mwenye kula kwa kukusudia katika Ramadhaan pasi na udhuru wa Kishari´ah?
Jibu: Ikiwa mtu alijifunguza kwa kukusudia basi ni wajibu kwake kulipa na kutoa kafara pamoja na kutubu kwa Allaah (Subhaanah). Kafara ni kuacha mtumwa huru ambaye ni muumini. Asipoweza afunge miezi miwili mfululizo. Asipoweza alishe masikini sitini. Hayo yanamuhusu pia mwanamke midhali amefanya pasi na kutenzwa nguvu.
Ikiwa amejifunguza kwa kula, kunywa na mfano wa hayo, basi ni wajibu kwake kulipa na kufanya tawbah. Lakini hata hivyo haimlazimu kutoa kafara.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/355)
- Imechapishwa: 22/06/2017
Swali: Ni ipi kafara ya mtu mwenye kula kwa kukusudia katika Ramadhaan pasi na udhuru wa Kishari´ah?
Jibu: Ikiwa mtu alijifunguza kwa kukusudia basi ni wajibu kwake kulipa na kutoa kafara pamoja na kutubu kwa Allaah (Subhaanah). Kafara ni kuacha mtumwa huru ambaye ni muumini. Asipoweza afunge miezi miwili mfululizo. Asipoweza alishe masikini sitini. Hayo yanamuhusu pia mwanamke midhali amefanya pasi na kutenzwa nguvu.
Ikiwa amejifunguza kwa kula, kunywa na mfano wa hayo, basi ni wajibu kwake kulipa na kufanya tawbah. Lakini hata hivyo haimlazimu kutoa kafara.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/355)
Imechapishwa: 22/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kula-kwa-kukusudia-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)