Swali: Ni ipi hukumu ya kukusanya du´aa mbili za kufungulia swalah katika swalah moja?
Jibu: Sunnah ni kusoma du´aa moja ya kufungulia swalah. Haikutufikia kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikusanya kati ya du´aa mbili za kufungulia swalah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 100-101
- Imechapishwa: 07/07/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kukusanya du´aa mbili za kufungulia swalah katika swalah moja?
Jibu: Sunnah ni kusoma du´aa moja ya kufungulia swalah. Haikutufikia kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikusanya kati ya du´aa mbili za kufungulia swalah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 100-101
Imechapishwa: 07/07/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kukusanya-duaa-mbili-za-kufungulia-swalah-katika-swalah-moja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)