Swali: Ni ipi hukumu ya kukojoa hali ya kusimama?
Jibu: Kukojoa hali ya kusimama kunajuzu kwa sharti mbili:
1- Kuaminike cheche za mkojo zisimrukie.
2- Kuaminike asiwepo yeyote atakayeona sehemu zake zisizotakiwa kuonekana.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/109)
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kukojoa hali ya kusimama?
Jibu: Kukojoa hali ya kusimama kunajuzu kwa sharti mbili:
1- Kuaminike cheche za mkojo zisimrukie.
2- Kuaminike asiwepo yeyote atakayeona sehemu zake zisizotakiwa kuonekana.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/109)
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kukojoa-kwa-kusimama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)