Swali: Ni ipi hukumu ya kujifunza elimu ya mantiki na falsafa kwa wanafunzi wenye kuanza au wa sekondari?
Jibu: Haijuzu kujifunza elimu ya mantiki na falsafa. Itampelekea mtu katika yale iliyowapelekea waliokuwa kabla yake. Inatutosheleza elimu ya Qur-aan na Sunnah na kuwa na uelewa katika dini ya Allaah. Haya yanatutosheleza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (14) http://alfawzan.af.org.sa/node/2057
- Imechapishwa: 22/04/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kujifunza elimu ya mantiki na falsafa kwa wanafunzi wenye kuanza au wa sekondari?
Jibu: Haijuzu kujifunza elimu ya mantiki na falsafa. Itampelekea mtu katika yale iliyowapelekea waliokuwa kabla yake. Inatutosheleza elimu ya Qur-aan na Sunnah na kuwa na uelewa katika dini ya Allaah. Haya yanatutosheleza.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (14) http://alfawzan.af.org.sa/node/2057
Imechapishwa: 22/04/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kujifunza-elimu-ya-mantiki-na-falsafa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)