Swali: Ni ipi hukumu ya kufumba macho wakati wa kuswali?
Jibu: Kufumba macho ndani ya swalah ni jambo limechukizwa. Kwa sababu ni jambo linakwenda kinyume na yale aliyokuwa akifanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Isipokuwa kukiwa kuna sababu. Kwa mfano kwenye ukuta au kwenye godoro kuna mapambo au mbele yake kuna mwangaza mkali wenye kuudhi macho yake. Kwa hali yoyote ni kwamba hapana neno ikiwa kuna sababu iliyomfanya yeye kufumba macho. Vinginevyo ni jambo limechukizwa. Anayetaka faida zaidi basi arejee katika kitabu “Zaad-ul-Ma´aad” cha Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 341
- Imechapishwa: 09/05/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kufumba macho wakati wa kuswali?
Jibu: Kufumba macho ndani ya swalah ni jambo limechukizwa. Kwa sababu ni jambo linakwenda kinyume na yale aliyokuwa akifanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Isipokuwa kukiwa kuna sababu. Kwa mfano kwenye ukuta au kwenye godoro kuna mapambo au mbele yake kuna mwangaza mkali wenye kuudhi macho yake. Kwa hali yoyote ni kwamba hapana neno ikiwa kuna sababu iliyomfanya yeye kufumba macho. Vinginevyo ni jambo limechukizwa. Anayetaka faida zaidi basi arejee katika kitabu “Zaad-ul-Ma´aad” cha Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 341
Imechapishwa: 09/05/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kufumba-macho-wakati-wa-kuswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)