Swali: Ni ipi hukumu ya kuandika kitu katika Qur-aan tukufu na kunywa? Mimi nimeona watu wanafanya hivo.
Jibu: Hakuna kitu katika hayo kilichothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), wala kutoka kwa makhaliyfah wake waongofu wala Maswahabah zake wengine (Radhiya Allaahu ´anhum). Kuacha kufanya hivo ndio bora zaidi na Allaah ndiye anajua zaidi.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (161/14)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuandika kitu katika Qur-aan tukufu na kunywa? Mimi nimeona watu wanafanya hivo.
Jibu: Hakuna kitu katika hayo kilichothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), wala kutoka kwa makhaliyfah wake waongofu wala Maswahabah zake wengine (Radhiya Allaahu ´anhum). Kuacha kufanya hivo ndio bora zaidi na Allaah ndiye anajua zaidi.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (161/14)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kombe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)