Swali 24: Ni ipi hukumu ya kikao cha mapumziko1 (جلسة الاستراحة)?
Jibu: Kimependekezwa. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikikaa. Baadhi ya wanachuoni wengine wanasema kuwa hakikupendekezwa kwa sababu huenda (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya hivo kwa sababu ya uzito wake au kwa sababu ya kuchoka. Lakini maoni yaliyo na nguvu ni kwamba kimependekezwa.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/66-kikao-cha-kupumzika/
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 36
- Imechapishwa: 01/11/2018
Swali 24: Ni ipi hukumu ya kikao cha mapumziko1 (جلسة الاستراحة)?
Jibu: Kimependekezwa. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikikaa. Baadhi ya wanachuoni wengine wanasema kuwa hakikupendekezwa kwa sababu huenda (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya hivo kwa sababu ya uzito wake au kwa sababu ya kuchoka. Lakini maoni yaliyo na nguvu ni kwamba kimependekezwa.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/66-kikao-cha-kupumzika/
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 36
Imechapishwa: 01/11/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kikao-cha-mapumziko/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)