Swali: Ni ipi hukumu mfungaji kumeza mate?
Jibu: Hakuna neno kumeza mate. Sijui kama kuna tofauti yoyote juu ya hilo wanachuoni kutokana na ule uzito na ugumu wa kujiepusha na hilo.
Kuhusu makohozi[1] ni lazima kwa mtu kuyatema pale yanapofika kinywani. Haijuzu kwa mfungaji kuyameza kwa sababu kuna uwezekano wa kuyaepuka tofauti na mate.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/313)
- Imechapishwa: 01/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu mfungaji kumeza mate?
Jibu: Hakuna neno kumeza mate. Sijui kama kuna tofauti yoyote juu ya hilo wanachuoni kutokana na ule uzito na ugumu wa kujiepusha na hilo.
Kuhusu makohozi[1] ni lazima kwa mtu kuyatema pale yanapofika kinywani. Haijuzu kwa mfungaji kuyameza kwa sababu kuna uwezekano wa kuyaepuka tofauti na mate.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/damu-inayotoka-katikati-na-meno-wakati-wa-swawm-na-hukumu-ya-mate-na-makohozi/
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/313)
Imechapishwa: 01/06/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-mfungaji-kumeza-mate/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)