Swali: Ni ipi hukumu kwa mgonjwa ambaye amefunga kufanya enema?
Jibu: Enema ambayo mgonjwa anaingiza kidude kwenye tupu ya nyuma wanachuoni wametofautiana. Kuna wanachuoni wenye kuonelea kuwa kinafunguza kwa kujengea ya kwamba kila ambacho kinafika kooni kinaharibu swawm. Wanachuoni wengine wakasema kuwa hakifunguzi. Mingoni mwa wanachuoni wenye maoni hayo ni Shaykh-ul-Islaam bin Taymiyyah (Rahimahu Allaah). Sababu alotoa ni kwamba huku sio kula wala kunywa na wala hakuleti maana ya kula wala kunywa.
Naonelea kwamba inatakiwa kutazama maoni ya madaktari. Wakisema kuwa enema ni kama kula na kunywa, basi itakuwa ni jambo lenye kufunguza. Wakisema enema haiupi mwili yale yanayoupa kula na kunywa, basi itakuwa ni jambo lisilofunguza.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/204)
- Imechapishwa: 09/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu kwa mgonjwa ambaye amefunga kufanya enema?
Jibu: Enema ambayo mgonjwa anaingiza kidude kwenye tupu ya nyuma wanachuoni wametofautiana. Kuna wanachuoni wenye kuonelea kuwa kinafunguza kwa kujengea ya kwamba kila ambacho kinafika kooni kinaharibu swawm. Wanachuoni wengine wakasema kuwa hakifunguzi. Mingoni mwa wanachuoni wenye maoni hayo ni Shaykh-ul-Islaam bin Taymiyyah (Rahimahu Allaah). Sababu alotoa ni kwamba huku sio kula wala kunywa na wala hakuleti maana ya kula wala kunywa.
Naonelea kwamba inatakiwa kutazama maoni ya madaktari. Wakisema kuwa enema ni kama kula na kunywa, basi itakuwa ni jambo lenye kufunguza. Wakisema enema haiupi mwili yale yanayoupa kula na kunywa, basi itakuwa ni jambo lisilofunguza.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/204)
Imechapishwa: 09/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-kwa-mgonjwa-ambaye-amefunga-kufanya-enema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)