Swali: Ni ipi hukumu ikiwa mtu hakufanya masharti saba ya “Laa ilaaha illa Allah”?
Jibu: Ikiwa anaamini maana yake [ni sawa] hata kama hajui masharti yake. Ambaye si msomi anaweza kutokujua masharti. Muhimu ni kuwa anamwamini Allaah peke yake na kwamba hakuna mungu wa haki isipokuwa Allaah na kwamba vyote badala yake ni batili.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 102
- Imechapishwa: 03/01/2017
Swali: Ni ipi hukumu ikiwa mtu hakufanya masharti saba ya “Laa ilaaha illa Allah”?
Jibu: Ikiwa anaamini maana yake [ni sawa] hata kama hajui masharti yake. Ambaye si msomi anaweza kutokujua masharti. Muhimu ni kuwa anamwamini Allaah peke yake na kwamba hakuna mungu wa haki isipokuwa Allaah na kwamba vyote badala yake ni batili.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 102
Imechapishwa: 03/01/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-kwa-asiyejua-masharti-ya-shahaadah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)