Swali 19: Wapo baadhi ya wanachuoni wanaosema kwamba idadi ya Tasbiyhaat ambazo ni wajibu ni moja tu. Unasemaje juu ya hilo? Ni idadi ipi ya juu kabisa?
Jibu: Idadi ya chini kabisa ni moja. Huu ndio msingi. Akisema moja basi atakuwa ametekeleza Tasbiyh. Hata hivyo hakuna idadi ya juu kabisa. Lakini Anas (Radhiya Allaahu ´anh) alihesabu Tasbiyhaat za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kwamba zilikuwa kumi[1]. Mtu akisabihi mara tano au saba jambo hili ni pana. Hata hivo lililo bora mtu asipunguze chini ya tatu.
[1] Abu Daawuud (888), an-Nasaa’iy (1137), Ahmad (12661) na al-Maqdisiy katika ”al-Mukhtaarah” (1/146). Nzuri kwa mujibu wa an-Nawawiy katika ”Khulaaswat-ul-Ahkaam” (1/414).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 35
- Imechapishwa: 09/10/2018
Swali 19: Wapo baadhi ya wanachuoni wanaosema kwamba idadi ya Tasbiyhaat ambazo ni wajibu ni moja tu. Unasemaje juu ya hilo? Ni idadi ipi ya juu kabisa?
Jibu: Idadi ya chini kabisa ni moja. Huu ndio msingi. Akisema moja basi atakuwa ametekeleza Tasbiyh. Hata hivyo hakuna idadi ya juu kabisa. Lakini Anas (Radhiya Allaahu ´anh) alihesabu Tasbiyhaat za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kwamba zilikuwa kumi[1]. Mtu akisabihi mara tano au saba jambo hili ni pana. Hata hivo lililo bora mtu asipunguze chini ya tatu.
[1] Abu Daawuud (888), an-Nasaa’iy (1137), Ahmad (12661) na al-Maqdisiy katika ”al-Mukhtaarah” (1/146). Nzuri kwa mujibu wa an-Nawawiy katika ”Khulaaswat-ul-Ahkaam” (1/414).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 35
Imechapishwa: 09/10/2018
https://firqatunnajia.com/ni-idadi-ipi-ya-juu-kabisa-na-ya-chini-ya-tasbiyhaat-katika-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)