Ni haramu kwa mke kutoka bila ya idhini ya mumewe

Swali: Mimi ninamuamrisha mke wangu kutotoka nyumbani lakini hanitii, bali anatoka nyumbani bila ya idhini yangu. Je, katika Shari´ah kuna mwenendo maalum na mke kama huu?

Jibu: Ndio. Amlazimishe kutotoka. Amlazimishe kwa kuwa ni mke wake. Haijuzu kwake kutoka bila ya idhini yake. Ni haramu kwake. Hii ni aina ya uasi (Nushuuz). Amtie adabu mpaka ashike adabu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13463
  • Imechapishwa: 20/09/2020