Swali: Ni lazima kuosha najisi ya nguruwe mara saba kama najisi ya mbwa?
Jibu: Ndio, hili halina shaka. Nguruwe ni najisi zaidi kuliko mbwa. Ikiwa najisi ya mbwa inaoshwa mara saba ambapo moja wapo inakuwa kwa mchanga, basi nguruwe ina haki zaidi ya kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Ni lazima kuosha najisi ya nguruwe mara saba kama najisi ya mbwa?
Jibu: Ndio, hili halina shaka. Nguruwe ni najisi zaidi kuliko mbwa. Ikiwa najisi ya mbwa inaoshwa mara saba ambapo moja wapo inakuwa kwa mchanga, basi nguruwe ina haki zaidi ya kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/nguruwe-ikigusa-nguo-unaiosha-mara-saba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)