Swali 839: Je, inajuzu mmilikiwa akaolewa na muungwana?
Jibu: Haijuzu kumuozesha mwanamke huyo. Kwa sababu yeye mwanaume ni muungwana na mwanamke ni mmilikiwa. Isipokuwa tu kwa masharti mawili:
Ya kwanza: Akichelea juu ya nafsi yake.
Ya pili: Asimpate mwanamke muungwana. Zikitimia sharti mbili hizi ndio itafaa kumuozesha mmilikiwa aliyetajwa. Kukikosekana moja katika sharti mbili hizi basi kumuozesha mwanamke huyo ni batili na si halali kamwe.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 333
- Imechapishwa: 18/07/2019
Swali 839: Je, inajuzu mmilikiwa akaolewa na muungwana?
Jibu: Haijuzu kumuozesha mwanamke huyo. Kwa sababu yeye mwanaume ni muungwana na mwanamke ni mmilikiwa. Isipokuwa tu kwa masharti mawili:
Ya kwanza: Akichelea juu ya nafsi yake.
Ya pili: Asimpate mwanamke muungwana. Zikitimia sharti mbili hizi ndio itafaa kumuozesha mmilikiwa aliyetajwa. Kukikosekana moja katika sharti mbili hizi basi kumuozesha mwanamke huyo ni batili na si halali kamwe.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 333
Imechapishwa: 18/07/2019
https://firqatunnajia.com/ndoa-ya-muungwana-kumuoa-kijakazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)