Swali: Mwanamke huyu alikuwa ni mnaswara ambapo akaingia ndani ya Uislamu. Lakini mume wake akabaki kwenye unaswara wake. Je, inafaa kwake kubaki pamoja naye? Je, kuna muda maalum uliowekwa?
Jibu: Mwanamke akisilimu na mume wake asisilimu, basi atakaa na kusubiri muda wa eda. Akisilimu kabla ya eda kuisha basi ataendelea kuwa mume wake. Asiposilimu isipokuwa baada ya eda yake ametengana naye.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (99) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86-10-07-1440%D9%87%D9%80_0.mp3
- Imechapishwa: 22/07/2019
Swali: Mwanamke huyu alikuwa ni mnaswara ambapo akaingia ndani ya Uislamu. Lakini mume wake akabaki kwenye unaswara wake. Je, inafaa kwake kubaki pamoja naye? Je, kuna muda maalum uliowekwa?
Jibu: Mwanamke akisilimu na mume wake asisilimu, basi atakaa na kusubiri muda wa eda. Akisilimu kabla ya eda kuisha basi ataendelea kuwa mume wake. Asiposilimu isipokuwa baada ya eda yake ametengana naye.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (99) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86-10-07-1440%D9%87%D9%80_0.mp3
Imechapishwa: 22/07/2019
https://firqatunnajia.com/ndoa-ya-dada-aliyesilimu-mumewe-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)