Swali: Baadhi ya ndugu wametangulia kuuliza kuhusu Hadiyth:
”Ipambeni Qur-aan kwa sauti zenu.”
Jibu: Hadiyth iliyotajwa baada ya kuihakiki imethibiti kuwa ni Swahiyh. Ameipokea Ahmad, Abu Daawuud, an-Nasaa´iy, Ibn Maajah na ad-Daarimiy kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kutoka kwa al-Baraa´ bin ´Aazib (Radhiya Allaahu ´anh) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ipambeni Qur-aan kwa sauti zenu.”
Kwa hiyo kuipamba Qur-aan kwa sauti ni miongoni mwa sababu za unyenyekevu na mazingatio. Vilevile ni miongoni mwa sababu za kuwa na shauku kusikiliza Qur-aan na pia ni miongoni mwa sababu za kutaka kufahamu kile anachosema Allaah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21706/ما-صحة-حديث-زينوا-القران-باصواتكم
- Imechapishwa: 24/09/2022
Swali: Baadhi ya ndugu wametangulia kuuliza kuhusu Hadiyth:
”Ipambeni Qur-aan kwa sauti zenu.”
Jibu: Hadiyth iliyotajwa baada ya kuihakiki imethibiti kuwa ni Swahiyh. Ameipokea Ahmad, Abu Daawuud, an-Nasaa´iy, Ibn Maajah na ad-Daarimiy kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kutoka kwa al-Baraa´ bin ´Aazib (Radhiya Allaahu ´anh) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ipambeni Qur-aan kwa sauti zenu.”
Kwa hiyo kuipamba Qur-aan kwa sauti ni miongoni mwa sababu za unyenyekevu na mazingatio. Vilevile ni miongoni mwa sababu za kuwa na shauku kusikiliza Qur-aan na pia ni miongoni mwa sababu za kutaka kufahamu kile anachosema Allaah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21706/ما-صحة-حديث-زينوا-القران-باصواتكم
Imechapishwa: 24/09/2022
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-qur-aan-inatakiwa-kusomwa-kwa-sauti-nzuri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)