Swali: Baadhi ya watu sehemu za kustarehe na katika vikao hawajichungi kutokamana na upuuzi mwingi, maneno mengi na mizaha mingi. Ni mamoja hayo yakawa ya kweli au ya uongo. Unawanasihi nini?
Jibu: Nawanasihi kutomsahau kumtaja Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika vikao vyao. Wanapotaka kusimama na kuondoka zao basi wasome kafara ya kikao:
سُبحانك اللهم وبِحمدك أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتُوبُ إِلَيْك
“Utakasifu ni Wako, ee Allaah, kutokamana na mapungufu, himdi zote unastahiki Wewe, nakuomba msamaha na kutubia Kwako.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16857
- Imechapishwa: 17/03/2018
Swali: Baadhi ya watu sehemu za kustarehe na katika vikao hawajichungi kutokamana na upuuzi mwingi, maneno mengi na mizaha mingi. Ni mamoja hayo yakawa ya kweli au ya uongo. Unawanasihi nini?
Jibu: Nawanasihi kutomsahau kumtaja Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika vikao vyao. Wanapotaka kusimama na kuondoka zao basi wasome kafara ya kikao:
سُبحانك اللهم وبِحمدك أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتُوبُ إِلَيْك
“Utakasifu ni Wako, ee Allaah, kutokamana na mapungufu, himdi zote unastahiki Wewe, nakuomba msamaha na kutubia Kwako.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16857
Imechapishwa: 17/03/2018
https://firqatunnajia.com/nasaha-kwa-wanaopenda-vikao-kama-vya-kahawa-na-vijiweni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)