Swali: Tunaomba uwape nasaha maalum wanafunzi wa kike 40.000 ambao wanakusikiliza hivi sasa.
Jibu: Tunawaombea kwa Allaah wema, mafanikio na washikamane na dini yao, haya, kujichunga na machafu na sitara. Ni lazima kwao kujisitiri na kuvaa Hijaab. Ni lazima kwao kuzichunga swalah na dini. Ni lazima kwao kuchunga suala la kujifunza elimu yenye manufaa. Hili ndilo tunalowanasihi dada zetu wanafunzi.
- Mhusika: Imâm Sâlih bin Fawzân al-Fawzân
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=162071 Tarehe: 1438-03-07/2016-12-07
- Imechapishwa: 14/02/2021
Swali: Tunaomba uwape nasaha maalum wanafunzi wa kike 40.000 ambao wanakusikiliza hivi sasa.
Jibu: Tunawaombea kwa Allaah wema, mafanikio na washikamane na dini yao, haya, kujichunga na machafu na sitara. Ni lazima kwao kujisitiri na kuvaa Hijaab. Ni lazima kwao kuzichunga swalah na dini. Ni lazima kwao kuchunga suala la kujifunza elimu yenye manufaa. Hili ndilo tunalowanasihi dada zetu wanafunzi.
Mhusika: Imâm Sâlih bin Fawzân al-Fawzân
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=162071 Tarehe: 1438-03-07/2016-12-07
Imechapishwa: 14/02/2021
https://firqatunnajia.com/nasaha-kwa-wanafunzi-wa-kike-40-000/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)