Nasaha kwa anayetazama video za ngono

Swali: Wapo baadhi ya watu ambao wamepewa mtihani wa kutazama klipu za ngono kwenye simu zao. Ni zipi nasaha zako juu ya jambo hili?

Jibu: Nasaha zangu wamche na wamukhofu Allaah (´Azza wa Jall). Wasitazame vitu hivi vyenye  kudhuru na vyenye kutia aibu. Wasitazame vitu hivyo. Kwa kuwa vinawatia kwenye mtihani:

إِنَّ السَّمْعَ وَالْبَصَرَ وَالْفُؤَادَ كُلُّ أُولَـٰئِكَ كَانَ عَنْهُ مَسْئُولًا

“Kwani hakika masikio na macho na moyo vyote hivyo vitaulizwa.”[1]

[1] 17:36

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
  • Imechapishwa: 13/09/2020