Swali: Ni zipi nasaha zako kwa mtu ambaye anataka kuoa mke zaidi ya mmoja?
Jibu: Afanye uadilifu. Amche Allaah na afanye uadilifu:
فَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا تَعْدِلُوا فَوَاحِدَةً
“Mkikhofu kwamba hamtoweza kufanya uadilifu, basi mmoja tu.”[1]
Uadilifu unakuwa katika matumizi, mavazi, makazi na malazi. Uadilifu unaweza kufanywa katika mambo haya mane.
[1] 04:03
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
- Imechapishwa: 01/04/2018
Swali: Ni zipi nasaha zako kwa mtu ambaye anataka kuoa mke zaidi ya mmoja?
Jibu: Afanye uadilifu. Amche Allaah na afanye uadilifu:
فَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا تَعْدِلُوا فَوَاحِدَةً
“Mkikhofu kwamba hamtoweza kufanya uadilifu, basi mmoja tu.”[1]
Uadilifu unakuwa katika matumizi, mavazi, makazi na malazi. Uadilifu unaweza kufanywa katika mambo haya mane.
[1] 04:03
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
Imechapishwa: 01/04/2018
https://firqatunnajia.com/nasaha-kwa-anayetaka-kuoa-zaidi-ya-mke-mmoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)