Swali: Je, una nasaha zozote juu ya masuala haya ya kujamiiana mchana wa Ramadhaan[1]?
Jibu: Nasaha zangu ni kwamba kufanya jimaa mchana wa Ramadhaan ndio jambo la khatari na kubwa zaidi linalomfunguza mtu. Ni wajibu kwa mtu kumcha Allaah (´Azza wa Jall). Asiifanye neema ya Allaah kwake kuwa maasi. Allaah amemneemesha mke. Hivyo ni anapaswa kustarehe naye pale alipomruhusu. Anatakiwa kusubiri. Maambo si mengine isipokuwa ni kusubiri tu masaa machache mpaka jua lizame. Baada ya hapo imehalalika kwake kumwingilia mkewe. Lakini baadhi ya watu wana imani na nafsi dhaifu hawawezi kuzimiliki nafsi zao. Bali utawakuta shaytwaan anawatawala mchana na matamanio yao yanakuwa makubwa zaidi kuliko usiku. Tunamuomba Allaah atupe sisi na wao uongofu.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/mume-na-mke-wameingiliana-mchana-wa-ramadhaan/
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/953
- Imechapishwa: 06/06/2018
Swali: Je, una nasaha zozote juu ya masuala haya ya kujamiiana mchana wa Ramadhaan[1]?
Jibu: Nasaha zangu ni kwamba kufanya jimaa mchana wa Ramadhaan ndio jambo la khatari na kubwa zaidi linalomfunguza mtu. Ni wajibu kwa mtu kumcha Allaah (´Azza wa Jall). Asiifanye neema ya Allaah kwake kuwa maasi. Allaah amemneemesha mke. Hivyo ni anapaswa kustarehe naye pale alipomruhusu. Anatakiwa kusubiri. Maambo si mengine isipokuwa ni kusubiri tu masaa machache mpaka jua lizame. Baada ya hapo imehalalika kwake kumwingilia mkewe. Lakini baadhi ya watu wana imani na nafsi dhaifu hawawezi kuzimiliki nafsi zao. Bali utawakuta shaytwaan anawatawala mchana na matamanio yao yanakuwa makubwa zaidi kuliko usiku. Tunamuomba Allaah atupe sisi na wao uongofu.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/mume-na-mke-wameingiliana-mchana-wa-ramadhaan/
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/953
Imechapishwa: 06/06/2018
https://firqatunnajia.com/nasaha-juu-ya-wanandoa-kufanya-jimaa-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)