Swali: Nani ana haki zaidi ya kuangaliwa na mtoto? Baba au mama?
Jibu: Hakimu ndiye mwenye kuhukumu. Hakimu ndiye anatakiwa kuendewa ikiwa kuna ugomvi kuhusiana na uangalizi wa mtoto. Lakini kwa jumla, na si kwamba nahukumu juu ya suala maalum, mama ndiye mwenye kumuangalia mtoto mpale pale anapofikia umri wa kuweza kupambanua. Anapofikia umri wa kuweza kupambanua basi anaenda kwa baba yake ambaye ndiye anatakiwa kumfunza, kumpa malezi na kumwangalia. Mwanaume ni mwenye nguvu zaidi kuliko mama inapokuja katika malezi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (72) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighassat%20-11-01-1439h.mp3
- Imechapishwa: 17/12/2017
Swali: Nani ana haki zaidi ya kuangaliwa na mtoto? Baba au mama?
Jibu: Hakimu ndiye mwenye kuhukumu. Hakimu ndiye anatakiwa kuendewa ikiwa kuna ugomvi kuhusiana na uangalizi wa mtoto. Lakini kwa jumla, na si kwamba nahukumu juu ya suala maalum, mama ndiye mwenye kumuangalia mtoto mpale pale anapofikia umri wa kuweza kupambanua. Anapofikia umri wa kuweza kupambanua basi anaenda kwa baba yake ambaye ndiye anatakiwa kumfunza, kumpa malezi na kumwangalia. Mwanaume ni mwenye nguvu zaidi kuliko mama inapokuja katika malezi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (72) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighassat%20-11-01-1439h.mp3
Imechapishwa: 17/12/2017
https://firqatunnajia.com/nani-ana-haki-zaidi-ya-kubaki-na-mtoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)