Swali: Ni ipi kauli yenye nguvu juu ya ni nani alitakiwa kuchinjwa; Ismaa´iyl au Ishaaq?
Jibu: Kauli sahihi ni kwamba alikuwa ni Ismaa´iyl. Baada ya Allaah kutaja kisa chote katika Suurah “as-Swaffaat” akasema:
وَبَشَّرْنَاهُ بِإِسْحَاقَ نَبِيًّا مِّنَ الصَّالِحِينَ
“Tukambashiria Ishaaq – Nabii miongoni mwa waja wema.” (37:112)
Inafahamisha kuwa mchinjwa alikuwa ni Ismaa´iyl. Allaah ameanza kumtaja yeye kwanza pale ambapo Ibraahiym aliposema:
الْحَمْدُ لِلَّـهِ الَّذِي وَهَبَ لِي عَلَى الْكِبَرِ إِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ ۚ إِنَّ رَبِّي لَسَمِيعُ الدُّعَاءِ
“Sifa njema na shukurani zote ni za Allaah ambaye amenitunukia juu ya umri mkubwa wangu [watoto wawili] Ismaa’iyl na Ishaaq. Hakika Mola wangu bila shaka ni Mwenye kusikia du’aa yangu.” (14:39)
Allaah kuanza kutaja Ismaa´iyl kabla ya Ishaaq ni dalili yenye kuonesha kuwa yeye ndiye ambaye alikuwa mkubwa kuliko Ishaaq. Hivyo kauli sahihi ni kwamba Ismaa´iyl (´alayhis-Salaam) ndiye ambaye angechinjwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 02/06/2018
Swali: Ni ipi kauli yenye nguvu juu ya ni nani alitakiwa kuchinjwa; Ismaa´iyl au Ishaaq?
Jibu: Kauli sahihi ni kwamba alikuwa ni Ismaa´iyl. Baada ya Allaah kutaja kisa chote katika Suurah “as-Swaffaat” akasema:
وَبَشَّرْنَاهُ بِإِسْحَاقَ نَبِيًّا مِّنَ الصَّالِحِينَ
“Tukambashiria Ishaaq – Nabii miongoni mwa waja wema.” (37:112)
Inafahamisha kuwa mchinjwa alikuwa ni Ismaa´iyl. Allaah ameanza kumtaja yeye kwanza pale ambapo Ibraahiym aliposema:
الْحَمْدُ لِلَّـهِ الَّذِي وَهَبَ لِي عَلَى الْكِبَرِ إِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ ۚ إِنَّ رَبِّي لَسَمِيعُ الدُّعَاءِ
“Sifa njema na shukurani zote ni za Allaah ambaye amenitunukia juu ya umri mkubwa wangu [watoto wawili] Ismaa’iyl na Ishaaq. Hakika Mola wangu bila shaka ni Mwenye kusikia du’aa yangu.” (14:39)
Allaah kuanza kutaja Ismaa´iyl kabla ya Ishaaq ni dalili yenye kuonesha kuwa yeye ndiye ambaye alikuwa mkubwa kuliko Ishaaq. Hivyo kauli sahihi ni kwamba Ismaa´iyl (´alayhis-Salaam) ndiye ambaye angechinjwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 02/06/2018
https://firqatunnajia.com/nani-alitaka-kuchinjwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)