Swali: Kuna mtu amerejea kwa Allaah na wala hajui ni vipi atatubu kwa Allaah. Naomba uniwekee wazi hilo.
Jibu: Kurejea kwa Allaah (´Azza wa Jall) ni kule kujutia kwake yale yaliyomtokea, atamani asingetumbukia ndani ya dhambi hiyo na aazimie kutoirudi huko mbeleni. Miongoni mwa sharti hakuna kwamba asiifanye tena. Sharti ni yeye aazimie kutoirudi. Tukikadiria kuwa kuna watu walimpambia nayo na akarudi kufanya maasi hayo, basi tawbah yake ni sahihi juu ya ile dhambi aliyotangulia kufanya. Dhambi hii mpya ni wajibu kuifanyia tawbah nyingine.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (37)
- Imechapishwa: 24/04/2018
Swali: Kuna mtu amerejea kwa Allaah na wala hajui ni vipi atatubu kwa Allaah. Naomba uniwekee wazi hilo.
Jibu: Kurejea kwa Allaah (´Azza wa Jall) ni kule kujutia kwake yale yaliyomtokea, atamani asingetumbukia ndani ya dhambi hiyo na aazimie kutoirudi huko mbeleni. Miongoni mwa sharti hakuna kwamba asiifanye tena. Sharti ni yeye aazimie kutoirudi. Tukikadiria kuwa kuna watu walimpambia nayo na akarudi kufanya maasi hayo, basi tawbah yake ni sahihi juu ya ile dhambi aliyotangulia kufanya. Dhambi hii mpya ni wajibu kuifanyia tawbah nyingine.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (37)
Imechapishwa: 24/04/2018
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kutubu-kwa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)