Swali: Ni vipi tutarudisha wasiwasi ndani ya swalah?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwelekeza ´Uthmaan bin Abiy al-´Aasw wakati alipomweleza kwamba shaytwaan anamtatiza katika swalah yake ambapo akamwambia:
“Tema cheche za mate kushotoni mwako na umtake Allaah kinga dhidi ya shaytwaan aliyefukuzwa.”
Kwa hivyo mtu anatakiwa kutema cheche za mate khafifu na amtake Allaah kinga dhidi ya shaytwaan aliyefukuzwa. ´Uthmaan amesema kuwa aliyatendea kazi hayo na Allaah akamwondoshea yale aliyokuwa akihisi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 17/04/2019
Swali: Ni vipi tutarudisha wasiwasi ndani ya swalah?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwelekeza ´Uthmaan bin Abiy al-´Aasw wakati alipomweleza kwamba shaytwaan anamtatiza katika swalah yake ambapo akamwambia:
“Tema cheche za mate kushotoni mwako na umtake Allaah kinga dhidi ya shaytwaan aliyefukuzwa.”
Kwa hivyo mtu anatakiwa kutema cheche za mate khafifu na amtake Allaah kinga dhidi ya shaytwaan aliyefukuzwa. ´Uthmaan amesema kuwa aliyatendea kazi hayo na Allaah akamwondoshea yale aliyokuwa akihisi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 17/04/2019
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kurudisha-wasiwasi-wa-shaytwaan-ndani-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)