Swali: Najisi ikiingia kwenye mkeka na najisi hii ikawa kubwa na najisi hii ikawa sehemu yake tu, ni wajibu kuosha mkeka wote?
Jibu: Mtu aoshe pale palipopatwa na najisi ikiwa kumejulikana. Au mtu aoshe pale ambapo anadhani na ana dhana yenye nguvu kwamba kumepatwa na najisi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 25/09/2018
Swali: Najisi ikiingia kwenye mkeka na najisi hii ikawa kubwa na najisi hii ikawa sehemu yake tu, ni wajibu kuosha mkeka wote?
Jibu: Mtu aoshe pale palipopatwa na najisi ikiwa kumejulikana. Au mtu aoshe pale ambapo anadhani na ana dhana yenye nguvu kwamba kumepatwa na najisi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
Imechapishwa: 25/09/2018
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kuosha-najisi-ilioshika-kwenye-mkeka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)