Swali: Ni vipi mtu anakemea maovu kwa moyo?
Jibu: Kukataza maovu kwa moyo anatakiwa kuchukia maovu kwa moyo. Achukie maovu na awachukia wanaofanya maovu hayo. Baada ya hapo ajiweke mbali na maeneo yao na vikao vyao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 48
- Imechapishwa: 05/06/2021
Swali: Ni vipi mtu anakemea maovu kwa moyo?
Jibu: Kukataza maovu kwa moyo anatakiwa kuchukia maovu kwa moyo. Achukie maovu na awachukia wanaofanya maovu hayo. Baada ya hapo ajiweke mbali na maeneo yao na vikao vyao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 48
Imechapishwa: 05/06/2021
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kukataza-maovu-kwa-moyo-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)