Swali: Akikujia kafiri na akaanza kukutolea salamu. Je, inafaa kumrudishia kwa kusema “wa ´alayakas-Salaam”? Ni vipi mtu amjibu? Je, inajuzu kwa mtu kuanza kumtolea salamu? Ni yepi maoni yako?
Jibu: Haijuzu kuanza kumtolea kafiri salamu kwa kumwambia: “as-Salaam ´alaykum”. Lakini akitutolea salamu basi mjibu kwa tamko lifuatalo “wa ´alayakum”. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndivo kaamrisha inapokuja kwa mayahudi na manaswara. Mbali na hawa wana hukumu moja kama wao kama wao watakuwa sio duni kuliko wao.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (01) http://binothaimeen.net/content/6628
- Imechapishwa: 01/02/2019
Swali: Akikujia kafiri na akaanza kukutolea salamu. Je, inafaa kumrudishia kwa kusema “wa ´alayakas-Salaam”? Ni vipi mtu amjibu? Je, inajuzu kwa mtu kuanza kumtolea salamu? Ni yepi maoni yako?
Jibu: Haijuzu kuanza kumtolea kafiri salamu kwa kumwambia: “as-Salaam ´alaykum”. Lakini akitutolea salamu basi mjibu kwa tamko lifuatalo “wa ´alayakum”. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndivo kaamrisha inapokuja kwa mayahudi na manaswara. Mbali na hawa wana hukumu moja kama wao kama wao watakuwa sio duni kuliko wao.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (01) http://binothaimeen.net/content/6628
Imechapishwa: 01/02/2019
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kujibu-salamu-ya-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)