Swali: Nusu ya usiku unahesabiwa kuanzia baada ya ´ishaa?
Jibu: Usiku unahesabiwa kuanzia baada ya kuzama kwa jua mpaka kuchomoza kwa alfajiri. Nyakati hizo mbili unagawanya nusu mbili, jambo ambalo linatofautiana kutegemea na masiku na majira.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 27/09/2020
Swali: Nusu ya usiku unahesabiwa kuanzia baada ya ´ishaa?
Jibu: Usiku unahesabiwa kuanzia baada ya kuzama kwa jua mpaka kuchomoza kwa alfajiri. Nyakati hizo mbili unagawanya nusu mbili, jambo ambalo linatofautiana kutegemea na masiku na majira.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
Imechapishwa: 27/09/2020
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kuhesabu-nusu-ya-usiku-kishariah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)