Swali: Ni lazima kwa mmliki wa mifugo kuandika miaka ya mnyama mpya anayezaliwa ili iweze kutambulika ina miaka ngapi juu ya Udhhiyah?
Jibu: Miaka yake inajulikana kwa meno yake. Wanatazama meno yake na wanajua mnyama ana miaka mingapi. Hawazingatii ile tarehe alozaliwa. Wanatazama meno yake na kwa njia hiyo wanatambua.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
- Imechapishwa: 18/05/2018
Swali: Ni lazima kwa mmliki wa mifugo kuandika miaka ya mnyama mpya anayezaliwa ili iweze kutambulika ina miaka ngapi juu ya Udhhiyah?
Jibu: Miaka yake inajulikana kwa meno yake. Wanatazama meno yake na wanajua mnyama ana miaka mingapi. Hawazingatii ile tarehe alozaliwa. Wanatazama meno yake na kwa njia hiyo wanatambua.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
Imechapishwa: 18/05/2018
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kuhakikisha-miaka-ya-mnyama-anayechinjwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)