Swali: Kuingia kwa mwezi wa Ramadhaan kunathibitishwa kwa kitu gani?
Jibu: Kuingia kwa mwezi wa Ramadhaan kunathibitishwa ima kwa kuonekana mwezi au kwa kukamilisha Sha?baan siku thelathini. Mtume (Swalla Allaahu ?alayhi wa sallam) amesema:
“Mkiuona fungeni na mkiuona fungueni. Mkifunikwa na mawingu basi timizeni idadi ya Sha?baan thelathini.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/36)
- Imechapishwa: 27/05/2017
Swali: Kuingia kwa mwezi wa Ramadhaan kunathibitishwa kwa kitu gani?
Jibu: Kuingia kwa mwezi wa Ramadhaan kunathibitishwa ima kwa kuonekana mwezi au kwa kukamilisha Sha?baan siku thelathini. Mtume (Swalla Allaahu ?alayhi wa sallam) amesema:
“Mkiuona fungeni na mkiuona fungueni. Mkifunikwa na mawingu basi timizeni idadi ya Sha?baan thelathini.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/36)
Imechapishwa: 27/05/2017
https://firqatunnajia.com/namna-inavyothibiti-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)