Swali: Kipi kinachozingatiwa katika kuwaunga jamaa?
Jibu: Kwa kile kitachokuwa wepesi. Hakuna kitu maalum kilichowekewa kikomo. Ijapo kwa maneno mazuri ikiwa hana pesa. Maneno mazuri yanatosha. Ambaye yuko na pesa na ndugu zake ni wahitaji basi awaunge kwa pesa.
Swali: Vipi kuhusiana na kutumiana nyujumbe na kuandikiana?
Jibu: Kutumia nyujumbe na kuandikiana ni katika kuunga kizazi ikiwa ndugu hao hawastahiki kususwa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21711/ما-الامور-التي-تتحقق-بها-صلة-الرحم
- Imechapishwa: 24/09/2022
Swali: Kipi kinachozingatiwa katika kuwaunga jamaa?
Jibu: Kwa kile kitachokuwa wepesi. Hakuna kitu maalum kilichowekewa kikomo. Ijapo kwa maneno mazuri ikiwa hana pesa. Maneno mazuri yanatosha. Ambaye yuko na pesa na ndugu zake ni wahitaji basi awaunge kwa pesa.
Swali: Vipi kuhusiana na kutumiana nyujumbe na kuandikiana?
Jibu: Kutumia nyujumbe na kuandikiana ni katika kuunga kizazi ikiwa ndugu hao hawastahiki kususwa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21711/ما-الامور-التي-تتحقق-بها-صلة-الرحم
Imechapishwa: 24/09/2022
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndivo-wanaungwa-ndugu-na-jamaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)