Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea Maulidi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika mwezi wa Rabiy´ al-Awwal kwa lengo la kumuadhimisha (´alayhis-Swalaatu was-Salaam)?
Jibu: Kumuadhimisha Mtume na kumheshimu inakuwa kwa kuamini yale yote aliyokuja nayo kutoka kwa Allaah na kufuata Shari´ah yake sawa katika ´Aqiydah, maneno, matendo na tabia na sambamba na hilo mtu akaacha kuzusha katika dini. Miongoni mwa mambo yaliyozuliwa katika dini ni kusherehekea Maulidi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz ana maneno yenye kutosheleza amezungumzia hukumu ya kusherehekea Maulidi ya Mtume[1].
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kusherehekea-maulidi/
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (3/13-14)
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea Maulidi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika mwezi wa Rabiy´ al-Awwal kwa lengo la kumuadhimisha (´alayhis-Swalaatu was-Salaam)?
Jibu: Kumuadhimisha Mtume na kumheshimu inakuwa kwa kuamini yale yote aliyokuja nayo kutoka kwa Allaah na kufuata Shari´ah yake sawa katika ´Aqiydah, maneno, matendo na tabia na sambamba na hilo mtu akaacha kuzusha katika dini. Miongoni mwa mambo yaliyozuliwa katika dini ni kusherehekea Maulidi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz ana maneno yenye kutosheleza amezungumzia hukumu ya kusherehekea Maulidi ya Mtume[1].
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kusherehekea-maulidi/
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (3/13-14)
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndivo-anaheshimiwa-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)