Swali: al-Ikhwaan al-Muslimuun ni fikira. Katika wao kuna Ashaa´irah, wengine ni Salafiyyuun na wengine ni kitu kingine. Kwa ajili hiyo ni lazima mtu awe na uadilifu katika kuwahukumu.
Jibu: Mfumo wao uko wazi. Uangalie mfumo wao na achana na migawanyiko. Uangalie mfumo wao na uwahukumu kupitia mfumo wao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: at-Tahdhiyr min Du´aat-is-Suu’
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: al-Ikhwaan al-Muslimuun ni fikira. Katika wao kuna Ashaa´irah, wengine ni Salafiyyuun na wengine ni kitu kingine. Kwa ajili hiyo ni lazima mtu awe na uadilifu katika kuwahukumu.
Jibu: Mfumo wao uko wazi. Uangalie mfumo wao na achana na migawanyiko. Uangalie mfumo wao na uwahukumu kupitia mfumo wao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: at-Tahdhiyr min Du´aat-is-Suu’
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndio-utawahukumu-al-ikhwaan-al-muslimuun/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)