Swali: Ambaye amewakilishwa kumuhijia mtu mwingine anafikiwa na yale aliyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Atakayefanya hajj kisha asiseme maneno machafu na wala asitende matendo machafu, basi atarudi akiwa kama siku aliyozaliwa na mama yake.”?
Jibu: Swali hili linakomeka kwa sisi kuuliza: je, mtu huyu amehiji? Hakuhiji. Amemuhijia mwingine na hakujihijia yeye mwenyewe. Hivyo hapati thawabu alizosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa sababu uhakika wa mambo ni kwamba hakujihijia yeye mwenyewe. Bali amemuhijia mwingine. Lakini – Allaah akitaka – akikusudia kumnufaisha nduguye na kumkidhia haja yake, basi Allaah atamlipa thawabu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/972
- Imechapishwa: 20/12/2018
Swali: Ambaye amewakilishwa kumuhijia mtu mwingine anafikiwa na yale aliyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Atakayefanya hajj kisha asiseme maneno machafu na wala asitende matendo machafu, basi atarudi akiwa kama siku aliyozaliwa na mama yake.”?
Jibu: Swali hili linakomeka kwa sisi kuuliza: je, mtu huyu amehiji? Hakuhiji. Amemuhijia mwingine na hakujihijia yeye mwenyewe. Hivyo hapati thawabu alizosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa sababu uhakika wa mambo ni kwamba hakujihijia yeye mwenyewe. Bali amemuhijia mwingine. Lakini – Allaah akitaka – akikusudia kumnufaisha nduguye na kumkidhia haja yake, basi Allaah atamlipa thawabu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/972
Imechapishwa: 20/12/2018
https://firqatunnajia.com/naibu-hajj-ana-thawabu-sawa-na-yule-anayemuhijia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)