Swali: Ni jambo limekithiri siku hizi kufikiri na kuifanyia hesabu nafsi inapofika mwisho wa mwaka. Je, kitendo hichi kina msingi katika Shari´ah?
Jibu: Jambo la kuifanyia hesabu nafsi linakuwa katika kila wakati. Inatakiwa kwa watoa mawaidha na walinganizi kuwakumbusha watu wazifanyie hesabu nafsi zao kila wakati.
Ama kuifanyia nafsi hesabu mwishoni mwa mwaka ni jambo la mnasaba. Ama kusema kuwa ni jambo lina msingi katika Qur-aan na Sunnah sijui hilo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
- Imechapishwa: 03/01/2018
Swali: Ni jambo limekithiri siku hizi kufikiri na kuifanyia hesabu nafsi inapofika mwisho wa mwaka. Je, kitendo hichi kina msingi katika Shari´ah?
Jibu: Jambo la kuifanyia hesabu nafsi linakuwa katika kila wakati. Inatakiwa kwa watoa mawaidha na walinganizi kuwakumbusha watu wazifanyie hesabu nafsi zao kila wakati.
Ama kuifanyia nafsi hesabu mwishoni mwa mwaka ni jambo la mnasaba. Ama kusema kuwa ni jambo lina msingi katika Qur-aan na Sunnah sijui hilo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
Imechapishwa: 03/01/2018
https://firqatunnajia.com/nafsi-inatakiwa-kuifanyiwa-hesabu-kila-wakati-na-si-mwisho-wa-mwaka-tu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)