Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kutumia manukato ikiwa hatapita katika mkusanyiko wa wanamme bali anaenda moja kwa moja katika maeneo ya wanawake ni mamoja anaenda msikitini au kwengine?
Jibu: Haifai kwake kufanya hivo. Bali anatakiwa kutoka nje kama ilivyopokelewa katika Hadiyth:
“Watoke pasi na kujitia manukato.”
Akijitia manukato basi azuiwe kutoka nje.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 28/08/2021
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kutumia manukato ikiwa hatapita katika mkusanyiko wa wanamme bali anaenda moja kwa moja katika maeneo ya wanawake ni mamoja anaenda msikitini au kwengine?
Jibu: Haifai kwake kufanya hivo. Bali anatakiwa kutoka nje kama ilivyopokelewa katika Hadiyth:
“Watoke pasi na kujitia manukato.”
Akijitia manukato basi azuiwe kutoka nje.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
Imechapishwa: 28/08/2021
https://firqatunnajia.com/mzuie-mwanamke-anayejitia-manukato-wakati-wa-kutoka-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)