Mzima kutufu Ka´bah akiwa juu ya kipando

Ahmad aliulizwa kama inafaa kwa mwanamke mzima kutufu katika Nyumba akiwa juu ya ngamia. Akajibu:

“Hapana. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakutufu kwa njia hiyo isipokuwa ilikuwa ili watu waweze kumuona.”

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 33
  • Imechapishwa: 14/03/2021