Swali: Kuna mtu anataka kuhiji hajj ya sunnah. Lakini hata hivyo hawezi kwa sababu ya ukubwa utuuzima wake. Bora ni yeye kuwakilisha mtu amhijie au atoe swadaqah kile kiwango?
Jibu: Bora ni yeye kuteua mtu ambaye atahiji faradhi kwa pesa hizi. Asiwakilishe mtu amhijie. Kwa sababu kuwakilisha mtu amuhijie mwingine ni jambo limepokelewa kuhusu hajj ya faradhi na sio hajj iliyopendekezwa. Asipopata mtu ambaye anahitajia kuhiji hajj ya faradhi, basi azitumie pesa hizi katika kujenga msikiti, tendo jema jingine au azimpe swadaqah fakiri au ndugu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (63) http://binothaimeen.net/content/1434
- Imechapishwa: 27/12/2019
Swali: Kuna mtu anataka kuhiji hajj ya sunnah. Lakini hata hivyo hawezi kwa sababu ya ukubwa utuuzima wake. Bora ni yeye kuwakilisha mtu amhijie au atoe swadaqah kile kiwango?
Jibu: Bora ni yeye kuteua mtu ambaye atahiji faradhi kwa pesa hizi. Asiwakilishe mtu amhijie. Kwa sababu kuwakilisha mtu amuhijie mwingine ni jambo limepokelewa kuhusu hajj ya faradhi na sio hajj iliyopendekezwa. Asipopata mtu ambaye anahitajia kuhiji hajj ya faradhi, basi azitumie pesa hizi katika kujenga msikiti, tendo jema jingine au azimpe swadaqah fakiri au ndugu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (63) http://binothaimeen.net/content/1434
Imechapishwa: 27/12/2019
https://firqatunnajia.com/mzee-anataka-kuwakilisha-mtu-amhijie-hajj-ya-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)