Swali: Mwanamke akiwa na mimba. Imewekwa katika Shari´ah kuomba du´aa:
بسم الله اللهم جَنِّبْنَا الشَّيْطَانَ وَجَنِّبِ الشَّيْطَانَ مَا رَزَقْتَنَا
“Kwa jina la Allaah. Ee Allaah! Tulinde na shaytwaan na kilinde na shaytwaan kile unachoturuzuku.”?
Au hili ni jambo maalum linalofanywa kabla ya mimba?
Jibu: Si jambo maalum. Ni jambo lenye kuenea. Mimba haitakiwi kulindwa dhidi ya shaytwaan? Mjamzito hatakiwi kumuomba Allaah amlinde kutokamana na shaytwaan?
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 30/06/2018
Swali: Mwanamke akiwa na mimba. Imewekwa katika Shari´ah kuomba du´aa:
بسم الله اللهم جَنِّبْنَا الشَّيْطَانَ وَجَنِّبِ الشَّيْطَانَ مَا رَزَقْتَنَا
“Kwa jina la Allaah. Ee Allaah! Tulinde na shaytwaan na kilinde na shaytwaan kile unachoturuzuku.”?
Au hili ni jambo maalum linalofanywa kabla ya mimba?
Jibu: Si jambo maalum. Ni jambo lenye kuenea. Mimba haitakiwi kulindwa dhidi ya shaytwaan? Mjamzito hatakiwi kumuomba Allaah amlinde kutokamana na shaytwaan?
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 30/06/2018
https://firqatunnajia.com/mwenye-mimba-anasoma-duaa-ya-kujilinda-na-shaytwaan-kabla-ya-jimaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)